Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nikaendelea kuziangalia sana zile pembe, na, tazama! pembe nyingine, iliyo ndogo,+ ikatokea katikati ya hizo, na pembe tatu kati ya zile za kwanza zikang’olewa mbele yake. Na, tazama! kulikuwa na macho kama macho ya mwanadamu katika pembe hiyo, na kulikuwa na kinywa kinachosema mambo makuu.+

  • Ufunuo 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nikaona maneno machafu matatu yaliyoongozwa na roho+ ambayo yalionekana kama vyura+ yakitoka katika kinywa cha yule joka+ mkubwa na kutoka katika kinywa cha yule mnyama-mwitu+ na kutoka katika kinywa cha yule nabii wa uwongo.+

  • Ufunuo 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na yule mnyama-mwitu+ akakamatwa, na yule nabii wa uwongo+ pamoja naye, aliyefanya mbele yake ishara+ alizotumia kuwapotosha wale waliopokea alama+ ya yule mnyama-mwitu na wale wanaoitolea sanamu+ yake ibada. Wakiwa bado hai, wote wawili walitupwa ndani ya ziwa la moto linalowaka kwa kiberiti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki