-
Ufunuo 19:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Na yule mnyama wa mwituni akakamatwa, na yule nabii+ wa uwongo pamoja naye, aliyefanya mbele yake ishara alizotumia kuwapotosha wale waliopokea alama ya yule mnyama wa mwituni+ na wale wanaoiabudu sanamu yake.+ Wakiwa bado hai, wote wawili walitupwa ndani ya ziwa la moto linalowaka kwa kiberiti.+
-
-
Ufunuo 19:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Na hayawani-mwitu akashikwa, na pamoja naye nabii asiye wa kweli aliyefanya mbele yake ishara ambazo kwazo aliongoza vibaya wale waliopokea alama ya hayawani-mwitu na wale ambao hutolea sanamu yake ibada. Huku wakiwa bado hai, wote wawili wakavurumishwa ndani ya ziwa la moto liwakalo kwa sulfa.
-