Ufunuo 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nikaona maneno matatu machafu yaliyoongozwa na roho* ambayo yalionekana kama vyura yakitoka katika kinywa cha yule joka+ na katika kinywa cha yule mnyama wa mwituni na katika kinywa cha yule nabii wa uwongo.
13 Nami nikaona maneno matatu machafu yaliyoongozwa na roho* ambayo yalionekana kama vyura yakitoka katika kinywa cha yule joka+ na katika kinywa cha yule mnyama wa mwituni na katika kinywa cha yule nabii wa uwongo.