Ufunuo 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hapa ndipo hekima inapohitajiwa: Yeye aliye na akili na apige hesabu ya namba ya yule mnyama-mwitu, kwa maana ni namba ya mwanadamu;+ na namba yake ni 666.+
18 Hapa ndipo hekima inapohitajiwa: Yeye aliye na akili na apige hesabu ya namba ya yule mnyama-mwitu, kwa maana ni namba ya mwanadamu;+ na namba yake ni 666.+