6 Na kukawa na vita tena katika Gathi,+ wakati kulipokuwa na mtu mwenye ukubwa usio wa kawaida,+ ambaye vidole vyake vya mikono na vidole vyake vya miguu vilikuwa sita sita, jumla 24;+ naye pia alikuwa amezaliwa kwa Refaimu.+
3Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu+ ya dhahabu, ambayo urefu wake ulikuwa mikono 60 na upana wake mikono 6. Akaisimamisha katika nchi tambarare ya Dura katika wilaya ya utawala ya Babiloni.+