1Basi ikatokea katika siku za Ahasuero,+ yaani, yule Ahasuero aliyekuwa akitawala akiwa mfalme kutoka India mpaka Ethiopia, juu ya wilaya za utawala 127,+
48 Basi mfalme akamfanya Danieli kuwa mtu mkuu,+ akampa zawadi nyingi kubwa, naye akamfanya kuwa mtawala juu ya wilaya yote ya utawala ya Babiloni na mkuu wa manaibu wa maliwali juu ya watu wote wenye hekima wa Babiloni.+