Mhubiri 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+ Waroma 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi+ na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+
20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+