Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+

  • Zaburi 51:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+

      Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+

  • Zaburi 130:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kama ungekuwa unaangalia makosa,+ Ee Yah,

      Ee Yehova, ni nani angesimama?+

  • Zaburi 143:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wala usiingie katika hukumu pamoja na mtumishi wako;+

      Kwa maana mbele zako, hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu.+

  • Methali 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani anayeweza kusema: “Nimeusafisha moyo wangu;+ mimi nimekuwa safi kutokana na dhambi yangu”?+

  • Waroma 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi+ na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+

  • Yakobo 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana sisi sote hujikwaa mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno,+ huyo ni mtu mkamilifu,+ anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.

  • 1 Yohana 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kama tukisema: “Sisi hatuna dhambi yoyote,”+ tunajipotosha wenyewe+ na kweli haimo ndani yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki