1 Wafalme 8:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+ Methali 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani anayeweza kusema: “Nimeusafisha moyo wangu;+ mimi nimekuwa safi kutokana na dhambi yangu”?+
46 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+
9 Ni nani anayeweza kusema: “Nimeusafisha moyo wangu;+ mimi nimekuwa safi kutokana na dhambi yangu”?+