Ayubu 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani anayeweza kutokeza mtu safi kutoka katika mtu asiye safi?+Hakuna hata mmoja. Waroma 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+