11 Nami nikamwona mnyama-mwitu+ mwingine akipanda kutoka katika dunia,+ naye alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akaanza kusema kama joka+ mkubwa.
13 Nami nikaona maneno machafu matatu yaliyoongozwa na roho+ ambayo yalionekana kama vyura+ yakitoka katika kinywa cha yule joka+ mkubwa na kutoka katika kinywa cha yule mnyama-mwitu+ na kutoka katika kinywa cha yule nabii wa uwongo.+