Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nikaendelea kuziangalia sana zile pembe, na, tazama! pembe nyingine, iliyo ndogo,+ ikatokea katikati ya hizo, na pembe tatu kati ya zile za kwanza zikang’olewa mbele yake. Na, tazama! kulikuwa na macho kama macho ya mwanadamu katika pembe hiyo, na kulikuwa na kinywa kinachosema mambo makuu.+

  • Ufunuo 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nikaona maneno machafu matatu yaliyoongozwa na roho+ ambayo yalionekana kama vyura+ yakitoka katika kinywa cha yule joka+ mkubwa na kutoka katika kinywa cha yule mnyama-mwitu+ na kutoka katika kinywa cha yule nabii wa uwongo.+

  • Ufunuo 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akamkamata yule joka+ mkubwa, yule nyoka wa zamani,+ ambaye ni Ibilisi+ na Shetani,+ na kumfunga kwa miaka elfu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki