8 Nilipokuwa nikiangalia pembe hizo, tazama! pembe nyingine, ndogo,+ ikajitokeza miongoni mwa pembe hizo, na pembe tatu kati ya zile za kwanza zikang’olewa mbele yake. Na, tazama! pembe hiyo ilikuwa na macho kama ya mwanadamu, na ilikuwa na kinywa kinachozungumza kwa kiburi.+