Danieli 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuhusu zile pembe kumi, wafalme kumi watainuka kutoka katika ufalme huo; na bado kuna mwingine atakayeinuka baada yao, atakuwa tofauti na wale wa kwanza, naye atawaaibisha wafalme watatu.+
24 Kuhusu zile pembe kumi, wafalme kumi watainuka kutoka katika ufalme huo; na bado kuna mwingine atakayeinuka baada yao, atakuwa tofauti na wale wa kwanza, naye atawaaibisha wafalme watatu.+