3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.”
17 Mwishowe nikawaambia: “Ninyi mnaona hali mbaya tuliyo nayo, jinsi ambavyo Yerusalemu limeharibiwa na malango yake kuteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, ili tusiendelee kuwa kitu cha aibu tena.”+