Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.”

  • Yeremia 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 mimi pia nitawatoa kwa ajili ya kutetemesha, kwa ajili ya msiba, katika falme zote za dunia,+ kwa ajili ya shutuma na kwa ajili ya neno la kimethali, kwa ajili ya suto+ na kwa ajili ya laana,+ katika mahali pote nitakapowatawanya.+

  • Ezekieli 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “ ‘Nami nitakufanya kuwa ukiwa na shutuma kati ya mataifa yanayokuzunguka pande zote mbele ya macho ya kila mpita-njia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki