22 Kwa habari ya wale watu+ walioachwa nyuma katika nchi ya Yuda, ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa ameacha, akaweka juu yao Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani.+
14 Nao wakamwambia: “Je, hujui kabisa kwamba Baalisi mfalme wa wana wa Amoni,+ amemtuma Ishmaeli+ mwana wa Nethania+ ili akupige nafsi yako akuue?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu hakuwaamini.+