8 Basi wakamwendea Gedalia kule Mispa, Ishmaeli+ mwana wa Nethania na Yohanani+ na Yonathani, wana wa Karea, na Seraya mwana wa Tanhumethi na wana wa Efai Mnetofa+ na Yezania+ mwana wa yule Mmaakathi,+ wao pamoja na watu wao.+
2 Ndipo Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye wakasimama, wakampiga kwa upanga Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani.+ Kwa hiyo akamuua mtu ambaye mfalme wa Babiloni alikuwa amemweka juu ya nchi.+