25 Na ikawa kwamba katika mwezi wa saba,+ Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama wa uzao wa kifalme akaja, na pia watu kumi pamoja naye, nao wakampiga Gedalia,+ akafa, na pia wale Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye katika Mispa.+
41Kwa hiyo ikawa kwamba katika mwezi wa saba, Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama+ wa uzao wa kifalme+ na aliye wa wakuu wa mfalme na watu wengine kumi pamoja naye+ wakamjia Gedalia mwana wa Ahikamu kule Mispa.+ Nao hapo wakaanza kula mkate pamoja kule Mispa.+