Yeremia 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wakaenda kwa Gedalia huko Mispa.+ Wakuu hao ni Ishmaeli+ mwana wa Nethania, Yohanani+ na Yonathani wana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi, wana wa Efai Mnetofa, na Yezania+ mwana wa Mmaakathi, pamoja na wanajeshi wao.
8 Basi wakaenda kwa Gedalia huko Mispa.+ Wakuu hao ni Ishmaeli+ mwana wa Nethania, Yohanani+ na Yonathani wana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi, wana wa Efai Mnetofa, na Yezania+ mwana wa Mmaakathi, pamoja na wanajeshi wao.