2 Wafalme 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha mfalme akawaamuru Hilkia kuhani na Ahikamu+ mwana wa Shafani na Akbori mwana wa Mikaya na Shafani mwandishi na Asaya+ mtumishi wa mfalme, akisema: Yeremia 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, mkono wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ndio uliokuwa pamoja na Yeremia, asitiwe mkononi mwa watu ili auawe.+
12 Kisha mfalme akawaamuru Hilkia kuhani na Ahikamu+ mwana wa Shafani na Akbori mwana wa Mikaya na Shafani mwandishi na Asaya+ mtumishi wa mfalme, akisema:
24 Zaidi ya hayo, mkono wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ndio uliokuwa pamoja na Yeremia, asitiwe mkononi mwa watu ili auawe.+