2 Wafalme 25:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa habari ya wale watu+ walioachwa nyuma katika nchi ya Yuda, ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa ameacha, akaweka juu yao Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani.+ Yeremia 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, mkono wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ndio uliokuwa pamoja na Yeremia, asitiwe mkononi mwa watu ili auawe.+
22 Kwa habari ya wale watu+ walioachwa nyuma katika nchi ya Yuda, ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa ameacha, akaweka juu yao Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani.+
24 Zaidi ya hayo, mkono wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ndio uliokuwa pamoja na Yeremia, asitiwe mkononi mwa watu ili auawe.+