2 Mambo ya Nyakati 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika mwaka wa 18 wa utawala wake, alipokuwa ameisafisha nchi na hekalu,* alimtuma Shafani+ mwana wa Azalia, Maaseya mkuu wa jiji, na Yoa mwana wa Yoahazi aliyefanya kazi ya kuweka kumbukumbu ili wairekebishe nyumba ya Yehova Mungu wake.+
8 Katika mwaka wa 18 wa utawala wake, alipokuwa ameisafisha nchi na hekalu,* alimtuma Shafani+ mwana wa Azalia, Maaseya mkuu wa jiji, na Yoa mwana wa Yoahazi aliyefanya kazi ya kuweka kumbukumbu ili wairekebishe nyumba ya Yehova Mungu wake.+