9 Kisha Shafani mwandishi akaingia kwa mfalme, akamjibu mfalme na kusema: “Watumishi wako wamemimina pesa ambazo zilikuwa ndani ya nyumba, nao wanaendelea kuzitia katika mkono wa wale wanaofanya kazi, wale waliochaguliwa, katika nyumba ya Yehova.”+
8 Na katika mwaka wa kumi na nane+ wa kutawala kwake, alipokuwa ameitakasa nchi na nyumba, akawatuma Shafani+ mwana wa Azalia na Maaseya mkuu wa jiji na Yoa mwana wa Yoahazi karani wakarekebisha+ nyumba ya Yehova Mungu wake.