Waamuzi 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nendeni mwombe msaada kutoka kwa miungu+ ambayo mmechagua.+ Hiyo na iwaokoe wakati wa taabu yenu.” Zaburi 81:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kwa hiyo nikawaacha waende katika ukaidi wa moyo wao;+Wakatembea katika mashauri yao wenyewe.+ Amosi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “ ‘Enyi watu, njooni Betheli, mfanye makosa.+ Fanyeni makosa mara nyingi katika Gilgali,+ na mlete dhabihu zenu asubuhi; na sehemu zenu za kumi katika siku ya tatu.+
14 Nendeni mwombe msaada kutoka kwa miungu+ ambayo mmechagua.+ Hiyo na iwaokoe wakati wa taabu yenu.”
4 “ ‘Enyi watu, njooni Betheli, mfanye makosa.+ Fanyeni makosa mara nyingi katika Gilgali,+ na mlete dhabihu zenu asubuhi; na sehemu zenu za kumi katika siku ya tatu.+