Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mwana-kondoo dume mmoja utamtoa asubuhi, na yule mwana-kondoo dume mwingine utamtoa katikati ya zile jioni mbili,+

  • Kumbukumbu la Torati 14:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Mwishoni mwa miaka mitatu utatoa sehemu yote ya kumi ya mazao yako ya mwaka huo,+ nawe utaiweka ndani ya malango yako.

  • Kumbukumbu la Torati 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Unapomaliza kutoa zaka ya sehemu yote ya kumi+ ya mazao yako katika mwaka wa tatu,+ mwaka wa sehemu ya kumi, utampa Mlawi pia, mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane, nao wataila ndani ya malango yako na kujishibisha.+

  • Hosea 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Walizidi kunitolea dhabihu ya nyama kuwa dhabihu za zawadi,+ nao wakaendelea kula vitu ambavyo Yehova hakufurahia.+ Sasa atakumbuka kosa lao na kutoza hesabu kwa sababu ya dhambi zao.+ Ndipo wao waliporudi Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki