Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kisha akaweka mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+

  • Ezekieli 20:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Nanyi, Ee nyumba ya Israeli, hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Nendeni kila mmoja wenu akazitumikie sanamu zake mwenyewe za mavi.+ Na baadaye ikiwa hamnisikilizi, basi hamtaendelea kulitia unajisi jina langu takatifu kwa zawadi zenu na kwa sanamu zenu za mavi.’+

  • Hosea 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wao hutoa dhabihu juu ya vilele vya milima,+ nao hufukiza moshi wa dhabihu juu ya vilima,+ chini ya mti mnene na mlubna na mti mkubwa, kwa sababu kivuli chake ni kizuri.+ Ndiyo sababu binti zenu hufanya uasherati na binti-wakwe zenu hufanya uzinzi.

  • Amosi 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Maana, siku yangu ya kutoza hesabu+ kwa sababu ya maasi ya Israeli juu yake, mimi nitazitoza hesabu pia madhabahu za Betheli;+ na pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali na kuanguka chini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki