39 “Nanyi, enyi watu wa nyumba ya Israeli, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kila mmoja wenu na aende kuziabudu sanamu zake zinazochukiza.+ Lakini baadaye ikiwa hamtanisikiliza, hamtaweza tena kulichafua jina langu takatifu kwa dhabihu zenu na kwa sanamu zenu zinazochukiza.’+