Isaya 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Acheni kuleta matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani. Uvumba wenu unanichukiza.+ Miezi mipya,+ sabato,+ kuita makusanyiko+—Siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko lenu takatifu. Ezekieli 23:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Baada ya kuwachinja wana wao kama dhabihu kwa sanamu zao zinazochukiza,+ walikuja mahali pangu patakatifu ili kupatia unajisi+ siku hiyohiyo. Hivyo ndivyo walivyofanya ndani ya nyumba yangu mwenyewe.
13 Acheni kuleta matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani. Uvumba wenu unanichukiza.+ Miezi mipya,+ sabato,+ kuita makusanyiko+—Siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko lenu takatifu.
39 Baada ya kuwachinja wana wao kama dhabihu kwa sanamu zao zinazochukiza,+ walikuja mahali pangu patakatifu ili kupatia unajisi+ siku hiyohiyo. Hivyo ndivyo walivyofanya ndani ya nyumba yangu mwenyewe.