Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Dhabihu ya mwovu inachukiza.+

      Sembuse anapoitoa akiwa na nia ovu!*

  • Ezekieli 8:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wazee 70 wa nyumba ya Israeli walikuwa wamesimama mbele ya vitu hivyo, naye Yaazania mwana wa Shafani+ alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja wao alikuwa na chetezo chake mkononi mwake, na wingu la uvumba lenye manukato lilikuwa likipanda juu.+ 12 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, umeona mambo ambayo wazee wa nyumba ya Israeli wanafanya gizani, kila mmoja akiwa katika vyumba vya ndani ambamo sanamu zake za kuchongwa zimewekwa ili zionekane?* Kwa maana wanasema, ‘Yehova hatuoni. Yehova ameiacha nchi hii.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki