Hosea 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ijapokuwa unafanya uasherati, Ee Israeli,+ Yuda asiwe na hatia,+ nanyi msije Gilgali,+ wala msiende Beth-aveni+ wala kuapa ‘Kama anavyoishi Yehova!’+ Hosea 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Ubaya wao wote ulikuwa katika Gilgali,+ kwa maana hapo nililazimika kuwachukia.+ Nitawafukuzia mbali kutoka katika nyumba yangu mwenyewe kwa sababu ya uovu wa matendo yao.+ Sitaendelea kuwapenda.+ Wakuu wao wote wanatenda kwa ukaidi.+ Amosi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+
15 Ijapokuwa unafanya uasherati, Ee Israeli,+ Yuda asiwe na hatia,+ nanyi msije Gilgali,+ wala msiende Beth-aveni+ wala kuapa ‘Kama anavyoishi Yehova!’+
15 “Ubaya wao wote ulikuwa katika Gilgali,+ kwa maana hapo nililazimika kuwachukia.+ Nitawafukuzia mbali kutoka katika nyumba yangu mwenyewe kwa sababu ya uovu wa matendo yao.+ Sitaendelea kuwapenda.+ Wakuu wao wote wanatenda kwa ukaidi.+
5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+