Ezekieli 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 naye aliendelea kutembea katika amri zangu+ na aliyashika maamuzi yangu ya hukumu ili kutenda kweli,+ yeye ni mwadilifu.+ Hakika yeye ataendelea kuishi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Waroma 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+
9 naye aliendelea kutembea katika amri zangu+ na aliyashika maamuzi yangu ya hukumu ili kutenda kweli,+ yeye ni mwadilifu.+ Hakika yeye ataendelea kuishi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.