Ezekieli 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 naye anaendelea kutembea katika amri zangu na kushika sheria zangu* ili atende kwa uaminifu. Mtu huyo ni mwadilifu na kwa hakika ataendelea kuishi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
9 naye anaendelea kutembea katika amri zangu na kushika sheria zangu* ili atende kwa uaminifu. Mtu huyo ni mwadilifu na kwa hakika ataendelea kuishi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.