Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+

  • Hesabu 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini watu wote ambao wamekuwa wakiuona utukufu+ wangu na ishara+ zangu ambazo nimefanya katika Misri na nyikani na bado wakaendelea kunijaribu+ mara kumi hizi, nao hawakuisikiliza sauti yangu,+

  • Zaburi 78:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Jinsi walivyomwasi mara nyingi nyikani,+

      Wakamhuzunisha jangwani!+

  • Zaburi 95:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama huko Meriba,+

      Kama katika ile siku ya Masa, nyikani,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki