13 “‘“Lakini watu wa nyumba ya Israeli waliniasi nyikani.+ Hawakutembea katika amri zangu, nao wakakataa sheria zangu, ambazo mtu akizifuata, atapata uzima kupitia hizo. Walizitia unajisi kabisa sabato zangu. Basi nikaahidi kuwamwagia ghadhabu yangu nyikani ili niwaangamize kabisa.+