Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+ Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+ Hagai 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitakipindua kiti cha falme na kuangamiza nguvu za falme za mataifa.+ Nitalipindua gari na wapandaji wake, na farasi na wapandaji wao wataanguka,+ kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’ ”+
7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+
16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+
22 Nitakipindua kiti cha falme na kuangamiza nguvu za falme za mataifa.+ Nitalipindua gari na wapandaji wake, na farasi na wapandaji wao wataanguka,+ kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’ ”+