Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+

      Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+

  • Zaburi 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+

      Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+

  • Hagai 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitakipindua kiti cha falme na kuangamiza nguvu za falme za mataifa.+ Nitalipindua gari na wapandaji wake, na farasi na wapandaji wao wataanguka,+ kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki