28 Nayo maji yakaendelea kurudi.+ Mwishowe yakafunika magari ya vita na askari wapanda-farasi wa majeshi yote ya Farao na ambao walikuwa wameingia baharini kuwafuatilia.+ Hakuna hata mmoja kati yao aliyebaki.+
20 “ ‘Nanyi mtashiba mezani pangu kwa farasi na waendesha-gari, watu wenye nguvu na mashujaa wa vita wa namna zote,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+