Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ulipuliza kwa pumzi yako,+ bahari ikawafunika;+

      Walizama kama risasi katika maji makuu.+

  • Kumbukumbu la Torati 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 wala mambo aliyotendea majeshi ya Misri, farasi zake na magari yake ya vita ambao dhidi ya nyuso zao aliyafanya maji ya Bahari Nyekundu yafurike walipokuwa wakiwafuatilia,+ na Yehova akawaangamiza mpaka leo hii;+

  • Nehemia 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nawe ukapasua+ bahari mbele yao, nao wakavuka katikati ya bahari juu ya nchi kavu;+ na wale waliokuwa wakiwafuatilia ukawatupa ndani ya vilindi vya bahari+ kama jiwe+ katika maji yenye nguvu.+

  • Zaburi 78:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Naye akaendelea kuwaongoza kwa usalama, wala hawakuhofu kamwe;+

      Nayo bahari ikawafunika adui zao.+

  • Waebrania 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki