4 wala mambo aliyotendea majeshi ya Misri, farasi zake na magari yake ya vita ambao dhidi ya nyuso zao aliyafanya maji ya Bahari Nyekundu yafurike walipokuwa wakiwafuatilia,+ na Yehova akawaangamiza mpaka leo hii;+
11 Nawe ukapasua+ bahari mbele yao, nao wakavuka katikati ya bahari juu ya nchi kavu;+ na wale waliokuwa wakiwafuatilia ukawatupa ndani ya vilindi vya bahari+ kama jiwe+ katika maji yenye nguvu.+