8Kisha Mungu akamkumbuka+ Noa na kila mnyama-mwitu na kila mnyama wa kufugwa ambaye alikuwa pamoja naye ndani ya safina.+ Mungu akafanya upepo upite juu ya dunia, nayo maji yakaanza kupungua.+
21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+