29 Ikawa kwamba Mungu alipoharibu majiji ya Wilaya hiyo, Mungu alimkumbuka Abrahamu, kwa kuwa alichukua hatua za kumwondoa Loti kutoka katikati ya hayo maangamizi alipokuwa akiyaangamiza majiji ambayo kati yake Loti alikuwa amekaa.+
19 Ndipo wakaamka asubuhi na mapema na kusujudu mbele za Yehova, baadaye wakarudi, wakaja nyumbani kwao huko Rama.+ Basi Elkana akalala+ na Hana mke wake, na Yehova akaanza kumkumbuka.+