Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ikawa kwamba Mungu alipoharibu majiji ya Wilaya hiyo, Mungu alimkumbuka Abrahamu, kwa kuwa alichukua hatua za kumwondoa Loti kutoka katikati ya hayo maangamizi alipokuwa akiyaangamiza majiji ambayo kati yake Loti alikuwa amekaa.+

  • Kutoka 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe Mungu akasikia+ kuugua+ kwao naye Mungu akalikumbuka agano lake pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo.+

  • 1 Samweli 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo wakaamka asubuhi na mapema na kusujudu mbele za Yehova, baadaye wakarudi, wakaja nyumbani kwao huko Rama.+ Basi Elkana akalala+ na Hana mke wake, na Yehova akaanza kumkumbuka.+

  • Zaburi 94:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Yehova hatawaacha watu wake,+

      Wala hatauacha urithi wake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki