Kutoka 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari, nayo bahari ikaanza kurudia hali yake ya kawaida asubuhi ikikaribia. Wakati wote huo Wamisri walikuwa wakikimbia wasikutane nayo, lakini Yehova akawakung’uta Wamisri katikati ya bahari.+ Kutoka 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ulipuliza kwa pumzi yako,+ bahari ikawafunika;+Walizama kama risasi katika maji makuu.+ Zaburi 136:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
27 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari, nayo bahari ikaanza kurudia hali yake ya kawaida asubuhi ikikaribia. Wakati wote huo Wamisri walikuwa wakikimbia wasikutane nayo, lakini Yehova akawakung’uta Wamisri katikati ya bahari.+
15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+