23 Na Wamisri wakaanza kufuatilia, nao farasi wote wa Farao, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi wakaanza kuingia baada yao,+ kuingia katikati ya bahari.
7 Nao wakaanza kumlilia Yehova.+ Basi akaweka giza kati yenu na Wamisri,+ naye akaleta bahari juu yao na kuwafunika,+ na macho yenu yakaona mambo niliyoyafanya huko Misri;+ nanyi mkaanza kukaa katika nyika siku nyingi.+