Kutoka 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Farao alipokaribia, wana wa Israeli wakaanza kuinua macho yao, na tazama, Wamisri walikuwa wakipiga mwendo wakiwafuatilia; na wana wa Israeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+
10 Farao alipokaribia, wana wa Israeli wakaanza kuinua macho yao, na tazama, Wamisri walikuwa wakipiga mwendo wakiwafuatilia; na wana wa Israeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+