Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Niombe,+ ili nikupe mataifa yawe urithi wako+

      Na miisho ya dunia iwe miliki yako mwenyewe.+

  • Isaya 60:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia, utaangamia; nayo mataifa yataharibiwa bila shaka.+

  • Danieli 2:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’+ asema Yehova, ‘mpaka siku nitakaposimama kwenda kuteka nyara,+ kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kukusanya mataifa,+ nizikusanye falme pamoja, ili nizimwagie shutuma yangu,+ hasira yangu yote yenye kuwaka; kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki