Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 2:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi waliposikia hilo walichomwa moyoni,+ nao wakamwambia Petro na wale mitume wengine: “Wanaume, akina ndugu, tufanye nini?”+

  • 2 Wakorintho 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kwa Mungu+ kwa ajili ya kupindua ngome zenye nguvu.

  • Tito 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ili kuziamsha akili za wanawake vijana wawapende waume zao,+ wawapende watoto wao,+

  • Waebrania 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana neno+ la Mungu liko hai+ nalo lina nguvu+ na ni lenye makali zaidi kuliko upanga wowote wenye makali kuwili+ nalo huchoma hata kufikia kugawanya nafsi+ na roho,+ na viungo na urojorojo wake, nalo linaweza kutambua fikira na makusudio ya moyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki