29 Ninyi mtakuwa na wimbo+ kama ule wakati wa usiku ambapo mtu hujitakasa kwa ajili ya sherehe,+ na kushangilia kwa moyo kama kule kwa mtu anayetembea akiwa na filimbi+ ili kuingia katika mlima wa Yehova,+ kwa Mwamba wa Israeli.+
26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+