Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nawe utashangilia wakati wa sherehe yako,+ wewe na mwana wako na binti yako na mtumishi wako na kijakazi wako na Mlawi na mkaaji mgeni na mvulana asiye na baba na mjane, walio ndani ya malango yako.

  • Zaburi 42:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nitakumbuka mambo haya, nami nitaimimina nafsi yangu iliyo ndani yangu.+

      Kwa maana nilikuwa nikipita pamoja na watu wengi,

      Nilikuwa nikitembea polepole mbele yao kwenda kwenye nyumba ya Mungu,+

      Kwa sauti ya vigelegele vya shangwe na shukrani,+

      Ya umati unaofanya sherehe.+

  • Zaburi 81:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Anzisheni muziki+ na kuchukua tari,+

      Kinubi chenye kupendeza pamoja na kinanda.+

  • Mathayo 26:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mwishowe, baada ya kuimba sifa,+ wakatoka na kwenda kwenye Mlima wa Mizeituni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki