Zaburi 42:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninayakumbuka mambo haya, nami naimwaga nafsi* yangu,Kwa maana wakati fulani nilitembea pamoja na umati;Nilikuwa nikitembea kimyakimya* mbele zao kwenda katika nyumba ya Mungu,Kwa sauti za shangwe na shukrani,Za umati unaofanya sherehe.+
4 Ninayakumbuka mambo haya, nami naimwaga nafsi* yangu,Kwa maana wakati fulani nilitembea pamoja na umati;Nilikuwa nikitembea kimyakimya* mbele zao kwenda katika nyumba ya Mungu,Kwa sauti za shangwe na shukrani,Za umati unaofanya sherehe.+