2 Samweli 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Nathani akamwambia mfalme: “Kila jambo lililo moyoni mwako—nenda,+ lifanye, kwa sababu Yehova yupo pamoja nawe.” Zaburi 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+ Zaburi 46:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela. Zaburi 61:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo jina lako nitalipigia muziki milele,+Ili nipate kutimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.+ Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+
3 Basi Nathani akamwambia mfalme: “Kila jambo lililo moyoni mwako—nenda,+ lifanye, kwa sababu Yehova yupo pamoja nawe.”
25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+
8 Kwa hiyo jina lako nitalipigia muziki milele,+Ili nipate kutimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+