Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Nathani akamwambia mfalme: “Kila jambo lililo moyoni mwako—nenda,+ lifanye, kwa sababu Yehova yupo pamoja nawe.”

  • Zaburi 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+

      Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+

  • Zaburi 46:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

      Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela.

  • Zaburi 61:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa hiyo jina lako nitalipigia muziki milele,+

      Ili nipate kutimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.+

  • Zaburi 146:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+

      Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki