1 Wafalme 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na likawa jambo lililo moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+ 1 Mambo ya Nyakati 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Nathani akamwambia Daudi: “Kila jambo lililo moyoni mwako lifanye,+ kwa kuwa Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.”+ 1 Mambo ya Nyakati 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye Daudi akamwambia Sulemani mwana wake: “Kwa habari yangu, nilitaka sana moyoni+ mwangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova, Mungu wangu.
17 Na likawa jambo lililo moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+
2 Basi Nathani akamwambia Daudi: “Kila jambo lililo moyoni mwako lifanye,+ kwa kuwa Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.”+
7 Naye Daudi akamwambia Sulemani mwana wake: “Kwa habari yangu, nilitaka sana moyoni+ mwangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova, Mungu wangu.